Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 29:7 - Swahili Revised Union Version

Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini; Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwadilifu anajua haki za maskini, lakini mtu mwovu hajui mambo hayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwadilifu anajua haki za maskini, lakini mtu mwovu hajui mambo hayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwadilifu anajua haki za maskini, lakini mtu mwovu hajui mambo hayo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini; Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 29:7
16 Marejeleo ya Msalaba  

Nilikuwa baba kwa mhitaji, Na kesi ya mtu nisiyemjua niliichunguza.


Kama nimeidharau kesi ya mtumishi wangu, au ya kijakazi changu, Waliposhindana nami;


Ikiwa nimewainulia mayatima mkono, Nilipoona msaada wangu langoni;


Na nishangilie, nizifurahie fadhili zako, Kwa kuwa umeyaona mateso yangu. Umeijua nafsi yangu taabuni,


Heri amkumbukaye mnyonge; BWANA atamwokoa siku ya taabu.


Kwa maana atamkomboa mhitaji aliapo, Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi.


Azibaye masikio yake asisikie kilio cha maskini, Yeye naye atalia, lakini hatasikiwa.


Wamenenepa sana, wang'aa; naam, wamepita kiasi kwa matendo maovu; hawatetei madai ya yatima, ili wapate kufanikiwa; wala hawaamui haki ya mhitaji.


Ndani yako wamedharau baba na mama; kati yako wamewatenda wageni udhalimu; ndani yako wamewaonea yatima na mjane.


Ndugu zangu, mtu akishikwa katika kosa lolote, ninyi mlio wa Roho mrejesheni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.


Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma.