Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 28:22 - Swahili Revised Union Version

Mwenye husuda afanya haraka kuwa tajiri; Wala haufikiri uhitaji utakaomjia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu bahili hukimbilia mali, wala hajui kwamba ufukara utamjia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu bahili hukimbilia mali, wala hajui kwamba ufukara utamjia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu bahili hukimbilia mali, wala hajui kwamba ufukara utamjia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri, naye hana habari kuwa umaskini unamngojea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri, naye hana habari kuwa umaskini unamngojea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye husuda afanya haraka kuwa tajiri; Wala haufikiri uhitaji utakaomjia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 28:22
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa walipomtoa nje, mmoja alisema, Jiponye nafsi yako usitazame nyuma, wala usisimame katika hilo bonde popote; ujiponye mlimani, usije ukaangamia.


Mawazo ya wenye bidii huuelekea utajiri tu; Bali kila mwenye pupa huuelekea uhitaji.


Yeye awaoneaye maskini ili kuongeza mapato, Naye ampaye tajiri, hupata hasara.


Usile mkate wa mtu mwenye husuda; Wala usivitamani vyakula vyake vya anasa;


Mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele; Lakini afanyaye haraka kuwa tajiri hakosi ataadhibiwa.


Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?


wizi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.


Lakini hao watakao kuwa na mali huanguka katika majaribu na mtego, na tamaa nyingi zisizo na maana, zenye kudhuru, zinazowaingiza watu katika upotevu na uharibifu.