Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:6 - Swahili Revised Union Version

Usile mkate wa mtu mwenye husuda; Wala usivitamani vyakula vyake vya anasa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usile chakula cha mtu bahili, wala usitamani mapochopocho yake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usile chakula cha mtu bahili, wala usitamani mapochopocho yake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usile chakula cha mtu bahili, wala usitamani mapochopocho yake,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usile chakula cha mtu mchoyo, usitamani vyakula vyake vitamu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usile chakula cha mtu mchoyo, usitamani vyakula vyake vitamu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usile mkate wa mtu mwenye husuda; Wala usivitamani vyakula vyake vya anasa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Usiuelekeze moyo wangu kunako jambo baya, Nisiyazoelee matendo yasiyofaa, Pamoja na watu watendao maovu; Wala nisile vyakula vyao vya anasa.


Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.


Usivitamani vyakula vyake vya anasa; Kwa maana ni vyakula vya hila.


Mwenye husuda afanya haraka kuwa tajiri; Wala haufikiri uhitaji utakaomjia.


Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?


wizi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.


Jitunze, msiwe na neno lisilofaa moyoni mwako, kusema, Umekaribia mwaka wa saba, mwaka wa maachilio; jicho lako likawa ovu juu ya nduguyo usimpe kitu; naye akamlilia BWANA juu yako, ikawa ni dhambi kwako.


Mwanamke kati yenu aliye mwororo na laini, ambaye hangehatarisha kuweka wayo wa mguu wake nchi kwa umalidadi na ulaini, jicho lake huyu litakuwa ovu juu ya mume wa kifuani mwake, na juu ya mwanawe, na juu ya binti yake,