Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:3 - Swahili Revised Union Version

Usivitamani vyakula vyake vya anasa; Kwa maana ni vyakula vya hila.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usitamani vyakula vyake vizuri, maana vyaweza kukudanganya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usitamani vyakula vyake vizuri, maana vyaweza kukudanganya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usitamani vyakula vyake vizuri, maana vyaweza kukudanganya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usitamani vyakula vyake vitamu kwa kuwa chakula hicho ni cha hila.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usitamani vyakula vyake vitamu kwa kuwa chakula hicho ni cha hila.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usivitamani vyakula vyake vya anasa; Kwa maana ni vyakula vya hila.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

Usiuelekeze moyo wangu kunako jambo baya, Nisiyazoelee matendo yasiyofaa, Pamoja na watu watendao maovu; Wala nisile vyakula vyao vya anasa.


Usile mkate wa mtu mwenye husuda; Wala usivitamani vyakula vyake vya anasa;


Huyo mfalme akawaagizia wapewe chakula kama cha mfalme, na divai aliyokunywa, akaagiza walishwe hivyo muda wa miaka mitatu; ili kwamba hatimaye wasimame mbele ya mfalme.


Lakini Danieli aliazimu moyoni mwake ya kuwa hatajitia unajisi kwa chakula cha mfalme, wala kwa divai aliyokunywa; basi akamwomba yule mkuu wa matowashi ampe ruhusa asijitie unajisi.


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


mvue mwenendo wenu wa kwanza, utu wa zamani unaoharibika, kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya;