Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:18 - Swahili Revised Union Version

Maana bila shaka iko thawabu; Na tumaini lako halitabatilika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hakika kuna kesho ya milele, na tumaini lako halitakuwa bure.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hakika kuna kesho ya milele, na tumaini lako halitakuwa bure.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hakika kuna kesho ya milele, na tumaini lako halitakuwa bure.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakika kuna tumaini la baadaye kwa ajili yako, nalo tarajio lako halitakatiliwa mbali.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakika kuna tumaini la baadaye kwa ajili yako, nalo tarajio lako halitakatiliwa mbali.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana bila shaka iko thawabu; Na tumaini lako halitabatilika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mtumishi wako huonywa kwazo, Katika kuzishika kuna thawabu kuu.


Umwangalie sana mtu mkamilifu, Umtazame mtu mnyofu, Maana mwisho wake mtu huyo ni amani.


Na mwanadamu atasema, Hakika iko thawabu yake mwenye haki. Hakika yuko Mungu Anayehukumu katika dunia.


Kwa maana mhitaji hatasahauliwa daima; Matumaini ya wanyonge hayatapotea milele.


Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako; Ikiwa umekwisha kuiona; Ndipo itakapofuata thawabu; Wala tumaini lako halitabatilika.


Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.


Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za baadaye.


Abrahamu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo yako mema katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unateseka.


kama vile nilivyotazamia sana, na kutumaini, kwamba sitaaibika kamwe, bali kwa uthabiti wote, kama sikuzote na sasa vivyo hivyo Kristo ataadhimishwa katika mwili wangu; ikiwa kwa maisha yangu, au ikiwa kwa mauti yangu.


Basi msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu.