Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:12 - Swahili Revised Union Version

Elekeza moyo wako kusikiliza mafundisho; Tega masikio yako kusikia maneno ya maarifa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tumia akili zako kufuata mafundisho; tumia masikio yako kusikiliza maarifa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tumia akili zako kufuata mafundisho; tumia masikio yako kusikiliza maarifa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tumia akili zako kufuata mafundisho; tumia masikio yako kusikiliza maarifa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Elekeza moyo wako kwenye mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Elekeza moyo wako kwenye mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Elekeza moyo wako kusikiliza mafundisho; Tega masikio yako kusikia maneno ya maarifa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Tega sikio lako uyasikie maneno ya wenye hekima, na kuuelekeza moyo wako kwa maarifa yangu;


Kwa sababu mkombozi wao ana nguvu; Atawatetea juu yako.


Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.


Sikia, mwanangu, uwe na hekima, Na kuuongoza moyo wako katika njia njema.


Nao huja kwako kama watu wajavyo, nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao husikia maneno yako, wasiyatende; maana kwa vinywa vyao hujifanya kuwa wenye upendo mwingi, lakini mioyo yao inatafuta faida yao.


Akawaambia, Kwa sababu hiyo, kila mwandishi mwenye elimu ya ufalme wa mbinguni amefanana na mtu mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.