Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:26 - Swahili Revised Union Version

Mfalme mwenye hekima huwapepeta wasio haki; Naye hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu; huwaadhibu bila huruma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu; huwaadhibu bila huruma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu; huwaadhibu bila huruma.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mfalme mwenye hekima huwapepeta wasio haki; Naye hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:26
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akawatoa watu waliokuwamo, akawaweka kwenye kazi ya misumeno, na sululu za chuma, na mashoka ya chuma, akawafanyiza kazi tanurini mwa matofali; ndivyo alivyoifanya miji yote ya wana wa Amoni. Kisha Daudi akarudi na watu wote Yerusalemu.


Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake.


Basi na huyu Boazi, je! Siye wa mbari yetu, ambaye ulikuwapo pamoja na wasichana wake? Tazama, usiku wa leo atakuwa akipepeta shayiri pale ugani.