Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:26 - Swahili Revised Union Version

26 Mfalme mwenye hekima huwapepeta wasio haki; Naye hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu; huwaadhibu bila huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu; huwaadhibu bila huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu; huwaadhibu bila huruma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Mfalme mwenye hekima huwapepeta wasio haki; Naye hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

Tazama sura Nakili




Methali 20:26
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akawatoa watu waliokuwamo, akawaweka kwenye kazi ya misumeno, na sululu za chuma, na mashoka ya chuma, akawafanyiza kazi tanurini mwa matofali; ndivyo alivyoifanya miji yote ya wana wa Amoni. Kisha Daudi akarudi na watu wote Yerusalemu.


Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake.


Basi na huyu Boazi, je! Siye wa mbari yetu, ambaye ulikuwapo pamoja na wasichana wake? Tazama, usiku wa leo atakuwa akipepeta shayiri pale ugani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo