Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:8 - Swahili Revised Union Version

Apate kuyalinda mapito ya hukumu, Na kuhifadhi njia ya watakatifu wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huilinda mienendo ya watu watendao haki, na kuzihifadhi njia za waaminifu wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huilinda mienendo ya watu watendao haki, na kuzihifadhi njia za waaminifu wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huilinda mienendo ya watu watendao haki, na kuzihifadhi njia za waaminifu wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Apate kuyalinda mapito ya hukumu, Na kuhifadhi njia ya watakatifu wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:8
20 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa BWANA anaijua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasio haki itapotea.


BWANA huwahifadhi wote wampendao, Na wote wasio haki atawaangamiza.


Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.


Kwa kuwa BWANA hupenda haki, Wala hawaachi watauwa wake. Wao hulindwa milele, Bali mzawa wa wasio haki ataharibiwa.


Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake. Hatua zake hazitelezi.


Aliyeiweka nafsi yetu katika uhai, Wala hakuuacha mguu wetu usogezwe.


Enyi mmpendao BWANA, uchukieni uovu; Huwalinda nafsi zao watauwa wake, Na kuwaokoa na mkono wa wasio haki.


Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.


Hapo hapatakuwa na simba, wala mnyama mkali hatapanda juu yake; hawataonekana hapo; bali waliokombolewa watakwenda katika njia hiyo.


Hakika awapenda hayo makabila ya watu; Watakatifu wake wote wamo mkononi mwako; Nao waliketi miguuni pako; Watapokea kila mmoja katika maneno yako.


Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ili mpate wokovu ulio tayari kufunuliwa wakati wa mwisho.


Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu;


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;