Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:3 - Swahili Revised Union Version

Naam, ukiita busara, Na kupaza sauti yako upate ufahamu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

naam, ukiomba upewe busara, ukisihi upewe ufahamu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

naam, ukiomba upewe busara, ukisihi upewe ufahamu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

naam, ukiomba upewe busara, ukisihi upewe ufahamu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na kama utaiita busara, na kuita kwa sauti upate ufahamu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na kama ukiita busara na kuita kwa sauti ufahamu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, ukiita busara, Na kupaza sauti yako upate ufahamu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA na akupe busara na akili, akakuagizie juu ya Israeli; ili uishike Torati ya BWANA, Mungu wako.


Mimi ni mtumishi wako, unifahamishe, Nipate kuzijua shuhuda zako.


Ee BWANA, kilio changu na kikufikie, Unifahamishe sawasawa na neno lako.


Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.


Mikono yako iliniumba na kunidhibiti, Unifahamishe nikajifunze amri zako.


Hata ukatega sikio lako kusikia hekima, Ukauelekeza moyo wako upate kufahamu;


Ukiutafuta kama fedha, Na kuutafutia kama hazina iliyositirika;


Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.


Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu, Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.


Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.


Basi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu hao wamwombao?


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.