Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:18 - Swahili Revised Union Version

Maana nyumba yake inaelekea mauti, Na mapito yake yanakwenda kwenye wafu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyumba yake yaelekea kuzimu, njia zake zinakwenda ahera.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyumba yake yaelekea kuzimu, njia zake zinakwenda ahera.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyumba yake yaelekea kuzimu, njia zake zinakwenda ahera.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo na mapito yake kwenye roho za waliokufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo na mapito yake kwenye roho za waliokufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana nyumba yake inaelekea mauti, Na mapito yake yanakwenda kwenye wafu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akaona mahali pa raha, kuwa pema, Na nchi, ya kuwa ni nzuri, Akainama bega lake lichukue mizigo, Akawa mtumishi kwa kazi ngumu.


Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.


Lakini huyo hajui ya kuwa wafu wamo humo; Ya kuwa wageni wake wamo chini kuzimuni.


Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, (ndiye mwabudu sanamu), aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.