Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:16 - Swahili Revised Union Version

Ili kuokoka na malaya, Naam, malaya mwenye kubembeleza kwa maneno yake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hekima itakuwezesha kumkwepa mwanamke mwasherati, mwanamke malaya wa maneno matamu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hekima itakuwezesha kumkwepa mwanamke mwasherati, mwanamke malaya wa maneno matamu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hekima itakuwezesha kumkwepa mwanamke mwasherati, mwanamke malaya wa maneno matamu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba, kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno ya kushawishi kutenda ubaya,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba, kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno ya kushawishi kutenda ubaya,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ili kuokoka na malaya, Naam, malaya mwenye kubembeleza kwa maneno yake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kinywa cha malaya ni shimo refu; Anayechukiwa na BWANA atatumbukia ndani yake.


Kwa maana kahaba ni shimo refu; Na malaya ni mtego wa shimo jembamba.


Ulimi unenao uongo huwachukia wale uliowajeruhi; Na kinywa cha kujipendekeza hutenda uharibifu.


Mwenye kujipendekeza kwa jirani yake, Hutandika wavu ili kuitega miguu yake.


Yakulinde na mwanamke mwovu, asikupate, Na kukuponya na ubembelezi wa mgeni.


Nami nimeona lililo na uchungu kupita mauti; yaani, mwanamke ambaye moyo wake ni mitego na tanzi, na mikono yake ni kama vifungo; yeye ampendezaye Mungu atamponyoka, bali mwenye dhambi atanaswa na yeye.


Naye akalia mbele yake hizo siku saba, wakati ulioendelea karamu yao; basi ikawa siku ya saba akamwambia, kwa sababu alikuwa akimsisitiza sana; naye akawaambia wale wana wa watu wake hicho kitendawili.