Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:13 - Swahili Revised Union Version

Watu waziachao njia za unyofu, Ili kuziendea njia za giza;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

watu waziachao njia nyofu, ili kuziendea njia za giza;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

watu waziachao njia nyofu, ili kuziendea njia za giza;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

watu waziachao njia nyofu, ili kuziendea njia za giza;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wale wanaoacha mapito ya unyoofu, wakatembea katika njia za giza,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wale waachao mapito yaliyonyooka wakatembea katika njia za giza,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu waziachao njia za unyofu, Ili kuziendea njia za giza;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:13
21 Marejeleo ya Msalaba  

Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja, Hakuna atendaye mema, La! Hata mmoja.


Maneno ya kinywa chake ni uovu na hila, Ameacha kuwa na akili na kutenda mema.


Hawajui wala hawafahamu, hutembea gizani; Misingi yote ya nchi imetikisika.


Mtu aikosaye njia ya busara Atakaa katika mkutano wao waliokufa.


Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.


Njia ya amani hawaijui; wala hapana hukumu ya haki katika mienendo yao; wamejifanyia njia zilizopotoka; kila apitaye katika njia hizo hajui amani.


Mwenye haki atakapoghairi, na kuiacha haki yake, na kutenda uovu, akafa katika uovu huo; katika uovu wake alioutenda atakufa.


na hao waliorudi nyuma, na kuacha kumfuata BWANA; na hao wasiomtafuta BWANA, wala kumwulizia.


Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.


Basi Yesu akawaambia, Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo. Nendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza lisije likawaweza; maana aendaye gizani hajui aendako.


kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.


Maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu huu wa sasa, akasafiri kwenda Thesalonike; Kreske amekwenda Galatia; Tito amekwenda Dalmatia.


Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.