Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:12 - Swahili Revised Union Version

Tuwameze hai kama kuzimu, Na wazima, kama wao washukao shimoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tutawameza kama Kuzimu wakiwa hai, watakuwa kama wale washukao Shimoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tutawameza kama Kuzimu wakiwa hai, watakuwa kama wale washukao Shimoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tutawameza kama Kuzimu wakiwa hai, watakuwa kama wale washukao Shimoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tuwameze hai kama kuzimu, Na wazima, kama wao washukao shimoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Papo hapo wangalitumeza hai, Hasira yao ilipowaka juu yetu.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Ee BWANA, nitakuita Ewe, mwamba wangu, Usiwe kwangu kama kiziwi. Nisije nikafanana nao washukao shimoni, Ikiwa umeninyamalia.


Wasiseme moyoni, Haya! Ndivyo tutakavyo; Wasiseme, Tumemmeza.


Maana vinywani mwao hamna uaminifu; Moyo wao ni shimo tupu, koo lao ni kaburi wazi, Ulimi wao hujipendekeza.


Atanitumia msaada toka mbinguni na kuniokoa, Atawaaibisha wale wanaotaka kunishambulia. Mungu atazituma Fadhili zake na kweli yake.


Tutapata mali yote ya thamani, Tutazijaza nyumba zetu mateka.


Nebukadneza, mfalme wa Babeli, amenila, ameniponda, amenifanya kuwa chombo kitupu; amenimeza kama joka, amelijaza tumbo lake vitu vyangu vya anasa; amenitupa


Juu yako adui zako wote Wamepanua vinywa vyao; Huzomea, husaga meno yao, Husema, Tumemmeza; Hakika siku hii ndiyo tuliyoitazamia; Tumeipata, tumeiona.


Bwana amekuwa mfano wa adui, Amemmeza Israeli; Ameyameza majumba yake yote, Ameziharibu ngome zake; Tena amemzidishia binti Yuda Matanga na maombolezo.


nchi ikafunua kinywa chake, na kuwameza pamoja na Kora, mkutano huo ulipokufa; wakati moto ulipowateketeza watu mia mbili na hamsini, nao wakawa ishara.


Koo lao ni kaburi wazi, Kwa ndimi zao wametumia hila. Sumu ya fira iko chini ya midomo yao.