Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:32 - Swahili Revised Union Version

Na hao walipokuwa wakiondoka, tazama, walimletea mtu bubu mwenye pepo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu walipokuwa wanakwenda zao, wengine walimletea Yesu mtu mmoja aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu walipokuwa wanakwenda zao, wengine walimletea Yesu mtu mmoja aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu walipokuwa wanakwenda zao, wengine walimletea Yesu mtu mmoja aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipokuwa wanatoka, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu na ambaye hakuweza kuongea aliletwa kwa Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipokuwa wanatoka, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu na ambaye hakuweza kuongea aliletwa kwa Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hao walipokuwa wakiondoka, tazama, walimletea mtu bubu mwenye pepo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:32
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mtu aliye kilema atarukaruka kama kulungu, na ulimi wake aliye bubu utaimba; maana katika nyika maji yatabubujika; na vijito jangwani.


Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Naye alikuwa akitoa pepo bubu; ikawa pepo alipotoka, yule bubu akanena, watu wakastaajabu.