Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 8:19 - Swahili Revised Union Version

Mwandishi mmoja akamwendea, akamwambia, Mwalimu, nitakufuata kokote uendako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwalimu mmoja wa sheria akamwendea, akamwambia, “Mwalimu, mimi nitakufuata kokote utakakokwenda.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwalimu mmoja wa sheria akamwendea, akamwambia, “Mwalimu, mimi nitakufuata kokote utakakokwenda.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwalimu mmoja wa sheria akamwendea, akamwambia, “Mwalimu, mimi nitakufuata kokote utakakokwenda.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha mwalimu mmoja wa sheria akamjia Isa na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata popote utakakoenda.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha mwalimu mmoja wa sheria akamjia Isa na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata kokote uendako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwandishi mmoja akamwendea, akamwambia, Mwalimu, nitakufuata kokote uendako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 8:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

huyo Ezra akakwea kutoka Babeli; naye alikuwa mwandishi mwepesi katika Sheria ya Musa, aliyokuwa ameitoa BWANA, Mungu wa Israeli; naye mfalme akamjalia matakwa yake yote, kama mkono wa BWANA, Mungu wake, ulivyokuwa pamoja naye.


Basi, kadhalika kila mmoja wenu asiyeacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi? Yuko wapi mleta hoja wa nyakati hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?


Labda nitakaa kwenu; naam, labda wakati wote wa baridi, mpate kunisafirisha kokote nitakakokwenda.