Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 8:19 - Swahili Revised Union Version

19 Mwandishi mmoja akamwendea, akamwambia, Mwalimu, nitakufuata kokote uendako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mwalimu mmoja wa sheria akamwendea, akamwambia, “Mwalimu, mimi nitakufuata kokote utakakokwenda.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mwalimu mmoja wa sheria akamwendea, akamwambia, “Mwalimu, mimi nitakufuata kokote utakakokwenda.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mwalimu mmoja wa sheria akamwendea, akamwambia, “Mwalimu, mimi nitakufuata kokote utakakokwenda.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kisha mwalimu mmoja wa sheria akamjia Isa na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata popote utakakoenda.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kisha mwalimu mmoja wa sheria akamjia Isa na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata kokote uendako.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Mwandishi mmoja akamwendea, akamwambia, Mwalimu, nitakufuata kokote uendako.

Tazama sura Nakili




Mathayo 8:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

huyo Ezra akakwea kutoka Babeli; naye alikuwa mwandishi mwepesi katika Sheria ya Musa, aliyokuwa ameitoa BWANA, Mungu wa Israeli; naye mfalme akamjalia matakwa yake yote, kama mkono wa BWANA, Mungu wake, ulivyokuwa pamoja naye.


Basi, kadhalika kila mmoja wenu asiyeacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi? Yuko wapi mleta hoja wa nyakati hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?


Labda nitakaa kwenu; naam, labda wakati wote wa baridi, mpate kunisafirisha kokote nitakakokwenda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo