Mathayo 8:19 - Swahili Revised Union Version19 Mwandishi mmoja akamwendea, akamwambia, Mwalimu, nitakufuata kokote uendako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Mwalimu mmoja wa sheria akamwendea, akamwambia, “Mwalimu, mimi nitakufuata kokote utakakokwenda.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Mwalimu mmoja wa sheria akamwendea, akamwambia, “Mwalimu, mimi nitakufuata kokote utakakokwenda.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Mwalimu mmoja wa sheria akamwendea, akamwambia, “Mwalimu, mimi nitakufuata kokote utakakokwenda.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Kisha mwalimu mmoja wa sheria akamjia Isa na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata popote utakakoenda.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Kisha mwalimu mmoja wa sheria akamjia Isa na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata kokote uendako.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Mwandishi mmoja akamwendea, akamwambia, Mwalimu, nitakufuata kokote uendako. Tazama sura |