Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 6:8 - Swahili Revised Union Version

Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msiwe kama wao, kwa sababu Baba yenu anajua kile mnachohitaji kabla hamjamwomba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msiwe kama wao, kwa sababu Baba yenu anajua kile mnachohitaji kabla hamjamwomba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 6:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana, haja zangu zote ziko mbele zako, Kuugua kwangu hakukusitirika kwako.


Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote.


kwa maana, hayo yote ndiyo watafutayo mataifa ya duniani, lakini Baba yenu anajua ya kuwa mna haja na hayo.


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.