Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 6:11 - Swahili Revised Union Version

Utupe leo riziki yetu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utupe leo chakula chetu cha kila siku.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utupe leo chakula chetu cha kila siku.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utupe leo chakula chetu cha kila siku.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utupatie riziki yetu ya kila siku.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utupatie riziki yetu ya kila siku.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Utupe leo riziki yetu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 6:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Sikurudi nyuma kuiacha amri ya midomo yake; Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu,


Wanasimba hutindikiwa, na kuona njaa; Bali wamtafutao BWANA hawapungukiwi kitu chochote kilicho chema.


Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.


Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.


Utupe siku kwa siku riziki yetu.


Basi tunawaagiza hao, na kuwaonya katika Bwana Yesu Kristo, wafanye kazi kwa utulivu na kula chakula chao wenyewe.


ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.


Ndipo alipoondoka, yeye na wakweze, ili kurudi kutoka nchi ya Moabu; maana akiwa katika nchi ya Moabu alipata habari kuwa BWANA alikuwa amewajia watu wake na kuwapa chakula.