Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 5:40 - Swahili Revised Union Version

Na mtu atakaye kukushitaki na kulichukua shati lako, mwachie na koti pia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia shati lako, mwache achukue pia koti lako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia shati lako, mwache achukue pia koti lako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia shati lako, mwache achukue pia koti lako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu akitaka kukushtaki na kuchukua joho lako, mwachie achukue na koti pia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mtu akitaka kukushtaki na kuchukua joho lako, mwachie achukue na koti pia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mtu atakaye kukushitaki na kulichukua shati lako, mwachie na koti pia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 5:40
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi nawaambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kulia, mgeuzie na la pili.


Mtu yeyote akikulazimisha mwendo wa maili moja, nenda naye maili mbili.


Akupigaye shavu moja, mgeuzie la pili, naye akunyang'anyaye joho yako, usimzuilie na kanzu.


Basi imekuwa upungufu kwenu kabisa kwamba mnashitakiana ninyi kwa ninyi. Maana si afadhali kudhulumiwa? Maana si afadhali kunyang'anywa mali zenu?


Lakini mtu awaye yote akiona ya kuwa hamtendei mwanamwali wake ipendezavyo, na ikiwa huyo amepita uzuri wa ujana wake, na ikiwapo haja, basi, afanye apendavyo, hatendi dhambi, na awaruhusu waoane.