Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 3:13 - Swahili Revised Union Version

Wakati huo Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Yordani kwa Yohana ili abatizwe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani, akamwendea Yohane ili abatizwe naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani, akamwendea Yohane ili abatizwe naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani, akamwendea Yohane ili abatizwe naye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Isa akaja kutoka Galilaya hadi Mto Yordani ili Yahya ambatize.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Isa akaja kutoka Galilaya mpaka Mto Yordani ili Yahya ambatize.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakati huo Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Yordani kwa Yohana ili abatizwe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 3:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini aliposikia ya kwamba Arkelao anatawala huko Yudea mahali pa Herode babaye, aliogopa kwenda huko; naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda pande za Galilaya,


Lakini Yohana alitaka kumzuia, akisema, Mimi nahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu?


naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama dhambi zao.


Wala mimi sikumjua; lakini ili adhihirishwe kwa Israeli ndiyo maana mimi nilikuja nikibatiza kwa maji.