Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 28:13 - Swahili Revised Union Version

wakisema, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakisema, “Nyinyi mtasema hivi: ‘Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakisema, “Nyinyi mtasema hivi: ‘Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakisema, “Nyinyi mtasema hivi: ‘Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wakawaambia, “Semeni, ‘Wanafunzi wake walikuja wakati wa usiku na kumwiba sisi tulipokuwa tumelala.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakiwaambia, “Inawapasa mseme, ‘Wanafunzi wake walikuja wakati wa usiku na kumwiba sisi tulipokuwa tumelala.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakisema, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 28:13
3 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi katika mkono wa kulia wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni.


Wakakusanyika pamoja na wazee, wakafanya shauri, wakawapa askari fedha nyingi,


Na jambo hili likisikika kwa mtawala, sisi tutasema naye, nanyi hamtapata shida.