Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 28:11 - Swahili Revised Union Version

Nao wale walipokuwa wakienda, tazama, baadhi ya walinzi waliingia mjini, wakawaambia wakuu wa makuhani juu ya mambo yote yaliyotendeka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale wanawake walipokuwa wanakwenda zao, baadhi ya walinzi wa lile kaburi walikwenda mjini kutoa taarifa kwa makuhani wakuu juu ya mambo yote yaliyotukia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale wanawake walipokuwa wanakwenda zao, baadhi ya walinzi wa lile kaburi walikwenda mjini kutoa taarifa kwa makuhani wakuu juu ya mambo yote yaliyotukia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale wanawake walipokuwa wanakwenda zao, baadhi ya walinzi wa lile kaburi walikwenda mjini kutoa taarifa kwa makuhani wakuu juu ya mambo yote yaliyotukia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale wanawake wakiwa njiani wakienda, baadhi ya wale askari waliokuwa wakilinda kaburi walienda mjini na kuwaeleza viongozi wa makuhani kila kitu kilichokuwa kimetukia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati wale wanawake walikuwa njiani wakienda, baadhi ya wale askari waliokuwa wakilinda kaburi walienda mjini na kuwaeleza viongozi wa makuhani kila kitu kilichokuwa kimetukia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wale walipokuwa wakienda, tazama, baadhi ya walinzi waliingia mjini, wakawaambia wakuu wa makuhani juu ya mambo yote yaliyotendeka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 28:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wakakusanyika pamoja na wazee, wakafanya shauri, wakawapa askari fedha nyingi,


Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.