Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:65 - Swahili Revised Union Version

Pilato akawaambia, Mna askari; nendeni mkalilinde salama kadiri mjuavyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pilato akawaambia, “Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pilato akawaambia, “Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pilato akawaambia, “Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pilato akawaambia, “Ninyi mnao askari walinzi. Nendeni, liwekeeni ulinzi kadiri mnavyoweza.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pilato akawaambia, “Ninyi mnao askari walinzi. Nendeni, liwekeeni ulinzi kadri mwezavyo.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pilato akawaambia, Mna askari; nendeni mkalilinde salama kadiri mjuavyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:65
5 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


Basi amuru kwamba kaburi lilindwe salama hadi siku ya tatu; wasije wanafunzi wake wakamwiba, na kuwaambia watu, Amefufuka katika wafu; na udanganyifu wa mwisho utapita ule wa kwanza.


Wakaenda, wakalilinda kaburi salama, kwa kulitia lile jiwe mhuri, pamoja na kuwaweka wale askari walinzi.