Na ilipokuwa jioni akafika mtu tajiri wa Arimathaya, jina lake Yusufu, naye mwenyewe alikuwa mwanafunzi wa Yesu;
Mathayo 27:58 - Swahili Revised Union Version mtu huyu alimwendea Pilato akaomba apewe mwili wa Yesu. Ndipo Pilato akaamuru apewe. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe. Biblia Habari Njema - BHND Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe. Neno: Bibilia Takatifu Akamwendea Pilato ili kumwomba mwili wa Isa. Pilato akaamuru apewe. Neno: Maandiko Matakatifu Akamwendea Pilato ili kumwomba mwili wa Isa. Pilato akaamuru apewe. BIBLIA KISWAHILI mtu huyu alimwendea Pilato akaomba apewe mwili wa Yesu. Ndipo Pilato akaamuru apewe. |
Na ilipokuwa jioni akafika mtu tajiri wa Arimathaya, jina lake Yusufu, naye mwenyewe alikuwa mwanafunzi wa Yesu;