Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:58 - Swahili Revised Union Version

mtu huyu alimwendea Pilato akaomba apewe mwili wa Yesu. Ndipo Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akamwendea Pilato ili kumwomba mwili wa Isa. Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akamwendea Pilato ili kumwomba mwili wa Isa. Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

mtu huyu alimwendea Pilato akaomba apewe mwili wa Yesu. Ndipo Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:58
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na ilipokuwa jioni akafika mtu tajiri wa Arimathaya, jina lake Yusufu, naye mwenyewe alikuwa mwanafunzi wa Yesu;


Yusufu akautwaa mwili, akauzongazonga katika sanda ya kitani safi,