Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:36 - Swahili Revised Union Version

Wakaketi, wakamlinda huko.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakaketi, wakawa wanamchunga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakaketi, wakawa wanamchunga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakaketi, wakawa wanamchunga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha wakaketi, wakamchunga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha wakaketi, wakamchunga.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakaketi, wakamlinda huko.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaweka juu ya kichwa chake mashitaka yake, yaliyoandikwa HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI.


Basi yule afisa, na hao waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoliona tetemeko la ardhi na mambo yaliyofanyika, wakaogopa sana, wakisema, Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.


Basi yule kamanda, aliyesimama hapo akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.


Lakini Pilato akastaajabu, kama amekwisha kufa. Akamwita yule kamanda, akamwuliza kwamba amekufa kitambo.