Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:44 - Swahili Revised Union Version

44 Lakini Pilato akastaajabu, kama amekwisha kufa. Akamwita yule kamanda, akamwuliza kwamba amekufa kitambo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

44 Pilato alishangaa kusikia kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa. Basi, akamwita jemadari, akamwuliza kama Yesu alikuwa amekufa kitambo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

44 Pilato alishangaa kusikia kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa. Basi, akamwita jemadari, akamwuliza kama Yesu alikuwa amekufa kitambo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

44 Pilato alishangaa kusikia kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa. Basi, akamwita jemadari, akamwuliza kama Yesu alikuwa amekufa kitambo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

44 Pilato alikuwa akijiuliza kama Isa alikuwa amekwisha kufa. Hivyo akamwita yule jemadari, akamuuliza iwapo Isa alikuwa amekwisha kufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

44 Pilato alikuwa akijiuliza kama Isa alikuwa amekwisha kufa. Hivyo akamwita yule jemadari, akamuuliza iwapo Isa alikuwa amekwisha kufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

44 Lakini Pilato akastaajabu, kama amekwisha kufa. Akamwita yule kamanda, akamwuliza kwamba amekufa kitambo.

Tazama sura Nakili




Marko 15:44
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


akaenda Yusufu, mtu wa Arimathaya, mstahiki, mtu wa baraza ya mashauri, naye mwenyewe anautazamia ufalme wa Mungu; akafanya ujasiri, akaingia mbele ya Pilato akauomba mwili wake Yesu.


Hata alipokwisha kupata hakika kutoka kwa yule kamanda, alimpa Yusufu yule maiti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo