Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:10 - Swahili Revised Union Version

wakavitumia kwa kununua shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakanunua nazo shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakanunua nazo shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakanunua nazo shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wakanunulia shamba la mfinyanzi, kama vile Mwenyezi Mungu alivyoniagiza.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakanunulia shamba la mfinyanzi, kama vile Bwana Mwenyezi Mungu alivyoniagiza.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakavitumia kwa kununua shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:10
2 Marejeleo ya Msalaba  

Nikawaambia, Mkiona vema, nipeni ujira wangu; kama sivyo, msinipe. Basi wakanipimia vipande thelathini vya fedha, kuwa ndio ujira wangu.


Kisha BWANA akaniambia, Mtupie mfinyanzi kima kizuri, hicho nilichotiwa kima na watu hao. Basi nikavitwaa vile vipande thelathini vya fedha, nikamtupia huyo mfinyanzi ndani ya nyumba ya BWANA.