Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:72 - Swahili Revised Union Version

Akakana tena kwa kiapo, Simjui mtu huyu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Petro akakana tena kwa kiapo: “Simjui mtu huyo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Petro akakana tena kwa kiapo: “Simjui mtu huyo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Petro akakana tena kwa kiapo: “Simjui mtu huyo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akakana tena kwa kiapo akisema, “Mimi simjui huyo!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akakana tena kwa kiapo akisema, “Mimi simjui huyo!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akakana tena kwa kiapo, Simjui mtu huyu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:72
11 Marejeleo ya Msalaba  

Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.


Sikieni haya, enyi watu wa nyumba ya Yakobo, mnaoitwa kwa jina la Israeli, mliotoka katika maji ya Yuda; mnaoapa kwa jina la BWANA, na kumtaja Mungu wa Israeli, lakini si kwa kweli, wala si kwa haki.


wala mtu wa kwenu asiwaze mabaya moyoni mwake juu ya jirani yake; wala msipende kiapo cha uongo; maana hayo yote ndiyo niyachukiayo, asema BWANA.


Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami sitasita kutoa ushahidi juu ya wachawi; na juu ya wazinzi, na juu ya waapao kwa uongo; juu ya wamwoneao mwajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.


Naye alipotoka nje hadi ukumbini, mwanamke mwingine alimwona, akawaambia watu waliokuwako huko, Huyu alikuwapo pamoja na Yesu Mnazareti.


Punde kidogo, wale waliokuwapo wakamwendea, wakamwambia Petro, Hakika wewe nawe u mmoja wao; kwa sababu hata usemi wako wakutambulisha.


Ndipo akaanza kulaani na kuapa akisema, Simjui mtu huyu. Na mara jogoo akawika.


Akasema, Nakuambia, Petro, jogoo hatawika leo, kabla wewe hujanikana mara tatu ya kuwa hunijui.