Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:68 - Swahili Revised Union Version

wakisema, Ewe Kristo, tufumbulie; ni nani aliyekupiga?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakasema, “Tubashirie basi, wewe Kristo; ni nani amekupiga!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakasema, “Tubashirie basi, wewe Kristo; ni nani amekupiga!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakasema, “Tubashirie basi, wewe Kristo; ni nani amekupiga!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na kusema, “Tutabirie, wewe Al-Masihi! Ni nani aliyekupiga?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na kusema, “Tutabirie, wewe Al-Masihi! Ni nani aliyekupiga?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakisema, Ewe Kristo, tufumbulie; ni nani aliyekupiga?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:68
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wakamtemea mate usoni, wakampiga ngumi; na wengine wakampiga makofi,


Wengine wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, na kumpiga makonde, na kumwambia, tabiri. Hata watumishi nao wakamchukua wakampiga makofi.


Ikawa mioyo yao iliposhangilia, wakasema, Mwiteni Samsoni, ili atufanyie michezo. Basi wakamwita Samsoni atoke gerezani, akacheze mbele yao wakamweka katikati ya nguzo mbili.