Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:21 - Swahili Revised Union Version

Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao walipokuwa wakila, Isa akasema, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao walipokuwa wakila, Isa akasema, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mnajua ya kuwa baada ya siku mbili itakuwa Pasaka, na Mwana wa Adamu atasalitiwa asulubiwe.


Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?


Sisemi habari za ninyi nyote; nawajua wale niliowachagua; lakini andiko lipate kutimizwa, Aliyekula chakula changu Ameniinulia kisigino chake.


Naye alipokwisha kusema hayo, Yesu alifadhaika rohoni, akashuhudia akisema, Amin, amin, nawaambieni, Mmoja wenu atanisaliti.


Wanafunzi wakatazamana, huku wakiwa na mashaka ni nani amnenaye.


Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.


nami nitawaua watoto wake kwa mauti. Na makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye achunguzaye fikira na mioyo. Nami nitampa kila mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yake.