Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:20 - Swahili Revised Union Version

Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Kumi na Wawili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ilipofika jioni, Isa alikuwa ameketi mezani pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ilipofika jioni, Isa alikuwa ameketi mezani pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Kumi na Wawili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mtamla hivi; mtakuwa mmefungwa viuno vyenu, mmevaa viatu vyenu miguuni, na fimbo zenu mikononi mwenu; nanyi mtamla kwa haraka; ni Pasaka ya BWANA.


Muda mfalme alipoketi juu ya kochi, Nardo yangu ilitoa harufu yake.


Wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, wakaiandaa Pasaka.


Naye alipokwisha kusema hayo, Yesu alifadhaika rohoni, akashuhudia akisema, Amin, amin, nawaambieni, Mmoja wenu atanisaliti.