Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:38 - Swahili Revised Union Version

Tena ni lini tulipokuona ukiwa mgeni, tukakukaribisha, au ukiwa uchi, tukakuvika?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lini tulikuona ukiwa mgeni tukakukaribisha, au ukiwa uchi tukakuvisha nguo?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lini tulikuona ukiwa mgeni tukakukaribisha, au ukiwa uchi tukakuvika?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena ni lini tulipokuona ukiwa mgeni, tukakukaribisha, au ukiwa uchi, tukakuvika?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:38
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wenye haki watakapomjibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona ukiwa na njaa, tukakulisha, au ukiwa na kiu tukakunywesha?


Ni lini tena tulipokuona ukiwa mgonjwa, au ukiwa kifungoni, tukakujia?