Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:12 - Swahili Revised Union Version

Akajibu akasema, Amin, nawaambia, siwajui ninyi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini yeye akawajibu, ‘Nawaambieni kweli, siwajui nyinyi.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini yeye akawajibu, ‘Nawaambieni kweli, siwajui nyinyi.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini yeye akawajibu, ‘Nawaambieni kweli, siwajui nyinyi.’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Lakini yeye bwana arusi akawajibu, ‘Amin, amin nawaambia, siwajui ninyi!’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Lakini yeye bwana arusi akawajibu, ‘Amin, amin nawaambia, siwajui ninyi!’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akajibu akasema, Amin, nawaambia, siwajui ninyi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa BWANA anaijua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasio haki itapotea.


Wajivunao hawatasimama mbele za macho yako; Unawachukia wote watendao uovu.


Wewe uliye na macho safi hata usiweze kuangalia uovu, wewe usiyeweza kutazama ukaidi, mbona unawaangalia watendao kwa hila; na kunyamaza kimya, hapo mtu mwovu ammezapo mtu aliye mwenye haki kuliko yeye;


Halafu wakaja na wale wanawali wengine, wakasema, Bwana, Bwana, utufungulie.


Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.


Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;


Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata.


Tunajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi; bali mtu akiwa ni mcha Mungu, na kuyafanya mapenzi yake, humsikia huyo.


Lakini mtu akimpenda Mungu, huyo amejulikana naye.


Bali sasa mkiisha kumjua Mungu, au zaidi kujulikana na Mungu, kwa nini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka kuyatumikia tena?


Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye mhuri huu, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila aliitaye jina la Bwana na auache uovu.