Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:42 - Swahili Revised Union Version

Kesheni basi; kwa maana hamjui ni siku ipi atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana wenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana Mungu wenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kesheni basi; kwa maana hamjui ni siku ipi atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:42
17 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kuhusu siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.


Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angaliujua ule wakati mwizi atakaokuja, angalikesha, wala asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa.


Kwa sababu hiyo ninyi nanyi jiwekeni tayari; kwa kuwa katika saa msiyotazamia Mwana wa Adamu yuaja.


Na hao walipokuwa wakienda kununua, bwana arusi akaja, nao waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye arusini; mlango ukafungwa.


Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.


Naam, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini


Kesheni, simameni imara katika imani, iweni na ujasiri, mkawe hodari.


Basi tusilale usingizi kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.


Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe katika sala.


Muwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka zunguka, akitafuta mtu ammeze.


(Tazama, naja kama mwizi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)