Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:40 - Swahili Revised Union Version

Wakati ule watu wawili watakuwako shambani; mmoja atwaliwa, mmoja aachwa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati huo watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati huo watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati huo watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu wawili watakuwa shambani, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wawili watakuwa shambani, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakati ule watu wawili watakuwako shambani; mmoja atwaliwa, mmoja aachwa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:40
8 Marejeleo ya Msalaba  

wasitambue, hata Gharika ikaja, ikawachukua wote, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.


wanawake wawili watakuwa wakisaga; mmoja atwaliwa, mmoja aachwa.


Maana ni nani anayekupambanua na mwingine? Nawe una nini usichokipokea? Lakini iwapo ulipokea, wajisifia nini kana kwamba hukupokea?


wala hakuuachilia ulimwengu wa kale, bali alimhifadhi Nuhu, mjumbe wa haki, na watu wengine saba, hapo alipoleta Gharika juu ya ulimwengu wa wasiomcha Mungu;