Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:34 - Swahili Revised Union Version

Amin, nawaambia, Kizazi hiki hakitapita, hata hayo yote yatakapotimia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nawaambieni kweli, kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo hayo yote kutukia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nawaambieni kweli, kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo hayo yote kutukia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nawaambieni kweli, kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo hayo yote kutukia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amin, nawaambia, Kizazi hiki hakitapita, hata hayo yote yatakapotimia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini watakapowafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawaambia, Hamtaimaliza miji ya Israeli, hata ajapo Mwana wa Adamu.


Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.


Amin, nawaambieni, Pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.


Amin, nawaambieni, Mambo hayo yote yatakuja juu ya kizazi hiki.


ili kwa kizazi hiki itakwe damu ya manabii wote, iliyomwagika tangu kupigwa msingi wa ulimwengu;