Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:10 - Swahili Revised Union Version

Ndipo wengi watakapojikwaa, nao watasalitiana, na kuchukiana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena, wengi wataiacha imani yao, watasalitiana na kuchukiana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena, wengi wataiacha imani yao, watasalitiana na kuchukiana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena, wengi wataiacha imani yao, watasalitiana na kuchukiana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati huo, wengi wataacha imani yao, nao watasalitiana kila mmoja na mwenzake na kuchukiana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati huo, wengi wataacha imani yao, nao watasalitiana kila mmoja na mwenzake na kuchukiana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo wengi watakapojikwaa, nao watasalitiana, na kuchukiana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:10
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na ndugu atamsaliti nduguye ili auawe, na baba atamsaliti mwana, na wana watawainukia wazazi wao, na kuwaua.


Naye heri awaye yote asiyechukizwa nami.


lakini hana mizizi ndani yake, bali hudumu kwa muda; ikitukia dhiki au udhia kwa ajili ya lile neno, mara huchukizwa.


Wakachukizwa naye. Yesu akawaambia, Nabii hakosi kupata heshima, isipokuwa katika nchi yake, na nyumbani mwake mwenyewe.


Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.


Na ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe, na baba atamsaliti mtoto, na watoto watashambulia wazazi wao, na kuwaua.


ila hawana mizizi ndani yao, bali hudumu muda mchache; kisha ikitokea dhiki au udhia kwa ajili ya lile neno, mara hujikwaa.


Nanyi mtasalitiwa na wazazi wenu, na ndugu zenu, na jamaa zenu, na rafiki zenu, nao watawaua baadhi yenu.


Waijua habari hii, ya kuwa wote walio wa Asia waliniepuka, ambao miongoni mwao wamo Figelo na Hermogene.


Maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu huu wa sasa, akasafiri kwenda Thesalonike; Kreske amekwenda Galatia; Tito amekwenda Dalmatia.


Katika utetezi wangu wa kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu, bali wote waliniacha; naomba wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.