Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 23:6 - Swahili Revised Union Version

hupenda viti vya mbele katika karamu, na kuketi mbele katika masinagogi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanapenda kukalia viti vya heshima katika karamu, na vile viti maalum sana katika masinagogi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanapenda kukalia viti vya heshima katika karamu, na vile viti maalum sana katika masinagogi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

hupenda viti vya mbele katika karamu, na kuketi mbele katika masinagogi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 23:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Wataka nini? Akamwambia, Agiza kwamba hawa wanangu wawili waketi mmoja mkono wako wa kulia, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika ufalme wako.


Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Nililiandikia kanisa neno, lakini Diotrefe, apendaye kuwa wa kwanza kati yao, hatukubali.