Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 23:32 - Swahili Revised Union Version

Kijazeni basi kipimo cha baba zenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Haya, kamilisheni ile kazi wazee wenu waliyoianza!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Haya, kamilisheni ile kazi wazee wenu waliyoianza!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Haya, kamilisheni ile kazi wazee wenu waliyoianza!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Haya basi, kijazeni kipimo cha dhambi ya baba zenu!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haya basi, kijazeni kipimo cha dhambi ya baba zenu!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kijazeni basi kipimo cha baba zenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 23:32
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na kizazi cha nne kitarudi hapa, maana uovu wa Waamori haujatimia bado.


wewe uwarehemuye watu elfu nyingi, uwalipaye baba za watu uovu wao vifuani mwa watoto wao baada yao; Mungu aliye mkuu, aliye hodari, BWANA wa majeshi ndilo jina lake;


Lakini hawakunisikiliza, wala kutega sikio lao; bali walifanya shingo yao kuwa ngumu; walitenda mabaya kuliko baba zao.


Je! Utawahukumu, mwanadamu, utawahukumu? Uwajulishe machukizo ya baba zao;


Na tazama, ninyi kizazi cha watu wenye dhambi, mmeinuka badala ya baba zenu ili kuongeza tena hizo hasira kali za BWANA juu ya Israeli.


Hivi mwajishuhudia wenyewe, ya kwamba ninyi ni wana wao waliowaua manabii.


Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya Jehanamu?


huku wakituzuia tusiseme na Mataifa wapate kuokolewa; ili watimize dhambi zao siku zote. Lakini hasira imewafikia hata mwisho.