Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia.
Mathayo 23:24 - Swahili Revised Union Version Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Viongozi vipofu! Mnatoa nzi katika kinywaji, lakini mnameza ngamia! Biblia Habari Njema - BHND Viongozi vipofu! Mnatoa nzi katika kinywaji, lakini mnameza ngamia! Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Viongozi vipofu! Mnatoa nzi katika kinywaji, lakini mnameza ngamia! Neno: Bibilia Takatifu Ninyi viongozi vipofu, mnachuja kiroboto lakini mnameza ngamia! Neno: Maandiko Matakatifu Ninyi viongozi vipofu, mnachuja kiroboto lakini mnameza ngamia! BIBLIA KISWAHILI Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia. |
Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia.
Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.
Nawaambia tena, Ni rahisi zaidi ngamia kupenya tundu ya sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Ole wenu viongozi vipofu, ninyi msemao, Mtu atakayeapa kwa hekalu, si kitu; bali mtu atakayeapa kwa dhahabu ya hekalu, amejifunga kwa kiapo.
Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe?
Kisha wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa mpaka Praitorio, nayo ikawa alfajiri; lakini wao wenyewe hawakuingia ndani ya ile Praitorio, wasije wakanajisika, bali wapate kuila Pasaka.
Basi wakapiga kelele tena kusema, Si huyu, bali Baraba. Naye yule Baraba alikuwa mnyang'anyi.
Nchi ikamsaidia mwanamke; nchi ikafunua kinywa chake, ikaumeza mto ule lililoutoa lile joka katika kinywa chake.