Isaya 9:16 - Swahili Revised Union Version16 Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Wale wanaoongoza watu hawa wamewapotosha, na hao wanaoongozwa nao wamepotoka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Wale wanaoongoza watu hawa wamewapotosha, na hao wanaoongozwa nao wamepotoka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Wale wanaoongoza watu hawa wamewapotosha, na hao wanaoongozwa nao wamepotoka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha, nao wale wanaoongozwa wamepotoka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha, nao wale wanaoongozwa wamepotoka. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia. Tazama sura |