Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 23:20 - Swahili Revised Union Version

Basi yeye aapaye kwa madhabahu, huapa kwa hiyo, na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi, mtu anayeapa kwa madhabahu, anaapa kwa hayo madhabahu na vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo, mtu aapaye kwa madhabahu, huapa kwa hayo madhabahu na vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi yeye aapaye kwa madhabahu, huapa kwa hiyo, na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 23:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

Vipofu ninyi; maana ni ipi iliyo kubwa, ile sadaka, au ile madhabahu iitakasayo sadaka?


Naye aapaye kwa hekalu, huapa kwa hilo, na kwa yeye akaaye ndani yake.


Maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao; na kwao mwisho wa mashindano yote ya maneno ni kiapo, kwa kuyathibitisha.