Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:9 - Swahili Revised Union Version

Basi Nendeni hata njia panda za barabara, na wote mwaonao waiteni arusini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, nendeni kwenye barabara na wowote wale mtakaowakuta waiteni waje harusini.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, nendeni kwenye barabara na wowote wale mtakaowakuta waiteni waje harusini.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, nendeni kwenye barabara na wowote wale mtakaowakuta waiteni waje harusini.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo nendeni katika njia panda mkamwalike karamuni yeyote mtakayemwona.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo nendeni katika njia panda mkamwalike karamuni yeyote mtakayemwona.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Nendeni hata njia panda za barabara, na wote mwaonao waiteni harusini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:9
16 Marejeleo ya Msalaba  

Maana mfalme wa Babeli alisimama penye njia panda, penye kichwa cha njia hizo mbili, ili atumie uganga; aliitikisa mishale huku na huko, akaziuliza terafi, akayatazama maini.


Wala usisimame penye njia panda, ili kuwakatilia mbali watu wake wakimbiao; wala usiwatoe watu wake waliosalia, katika siku ya dhiki.


Wakamwambia, Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. Akawaambia, nanyi pia nendeni katika shamba la mizabibu.


Watumwa wale wakatoka wakaenda njia kuu, wakakusanya wote waliowaona, waovu kwa wema; arusi ikajaa wageni.


Kisha akawaambia watumwa wake, Arusi iko tayari, lakini wale walioalikwa hawakustahili.


na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.


Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.


Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii ya kuwahubiria Mataifa utajiri wake Kristo usiopimika;


Roho na Bibi arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.