Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:6 - Swahili Revised Union Version

nao waliosalia wakawakamata watumwa wake, wakawadhulumu na kuwaua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wengine wao wakawakamata wale watumishi wake, wakawatesa na kuwaua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wengine wao wakawakamata wale watumishi wake, wakawatesa na kuwaua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nao waliosalia wakawakamata watumwa wake, wakawadhulumu na kuwaua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:6
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini hawakujali, wakaenda zao, mmoja shambani kwake, mmoja kwenye biashara yake;


Basi yule mfalme akaghadhibika; akatuma majeshi yake, akawaangamiza wauaji wale, akauteketeza mji wao.


Kwa kuwa atatiwa mikononi mwa Mataifa, atafanyiwa dhihaka; atatendwa jeuri, na kutemewa mate;


Siku ile kukatokea mateso makuu kwa kanisa lililokuwa katika Yerusalemu; wote wakatawanyika katika nchi ya Yudea na Samaria, isipokuwa hao mitume.


Wakumbukeni hao waliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao; na hao wanaodhulumiwa, kwa vile ninyi nanyi mlivyo katika mwili.