Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:39 - Swahili Revised Union Version

Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ya pili inafanana na hiyo: ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe’.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ya pili inafanana na hiyo: ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe’.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ya pili inafanana na hiyo: ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe’.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nayo ya pili ni kama hiyo, nayo ni hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nayo ya pili ni kama hiyo, nayo ni hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:39
11 Marejeleo ya Msalaba  

Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.


Waheshimu baba yako na mama yako, na, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.


Na ya pili ndiyo hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.


Msiwiwe na mtu chochote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria.


Kila mtu miongoni mwetu na ampendeze jirani yake, apate wema, akajengwe.


Maana torati yote imetimilika katika neno moja, nalo ni hili, Umpende jirani yako kama nafsi yako.


Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.


Lakini mkiitimiza ile sheria ya kifalme kama ilivyoandikwa, Mpende jirani yako kama nafsi yako, mwatenda vema.