Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:31 - Swahili Revised Union Version

Tena kuhusu kiyama ya wafu, hamjalisoma neno lililonenwa na Mungu, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini kuhusu kufufuka kwa wafu, je, hamjasoma yale aliyowaambieni Mungu? Aliwaambia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini kuhusu kufufuka kwa wafu, je, hamjasoma yale aliyowaambieni Mungu? Aliwaambia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini kuhusu kufufuka kwa wafu, je, hamjasoma yale aliyowaambieni Mungu? Aliwaambia,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kuhusu ufufuo wa wafu, hamjasoma kile Mungu alichowaambia, kwamba,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kuhusu ufufuo wa wafu, hamjasoma kile Mungu alichowaambia, kwamba,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena kuhusu kiyama ya wafu, hamjalisoma neno lililonenwa na Mungu, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:31
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Hamkusoma alivyotenda Daudi, alipokuwa na njaa, yeye na wenziwe?


Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia.


wakamwambia, Wasikia hawa wasemavyo? Yesu akawaambia, Naam; hamkupata kusoma, Kwa vinywa vya watoto wachanga na wanyonyao umejiandalia sifa?


Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni la ajabu machoni petu?


Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni.


Mimi ni Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.


Lakini nendeni, mkajifunze maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka; kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.