Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:14 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.


Na kama siku hizo zisingalifupishwa, asingeokoka mtu yeyote; lakini kwa ajili ya wateule siku hizo zitafupishwa.


Kwa maana watatokea Makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, ikiwezekana, hata walio wateule.


Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.


Hawa watafanya vita na Mwana-kondoo, na Mwana-kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, na wateule, na waaminifu.