Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 21:8 - Swahili Revised Union Version

Watu wengi katika ule mkutano wakatandaza nguo zao njiani; na wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandaza njiani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Umati mkubwa wa watu wakatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Umati mkubwa wa watu wakatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Umati mkubwa wa watu wakatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umati mkubwa wa watu wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakakata matawi kwenye miti, wakayatandaza barabarani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Umati mkubwa wa watu ukatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakakata matawi kutoka kwenye miti, wakayatandaza barabarani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wengi katika ule mkutano wakatandaza nguo zao njiani; na wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandaza njiani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 21:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakafanya haraka, kila mtu akalitwaa vazi lake, na kulitia chini yake juu ya madaraja, wakapiga baragumu wakasema, Yehu ni mfalme.


Nanyi siku ya kwanza mtajipatia matunda ya miti mizuri, na makuti ya mitende, na matawi ya miti minene, na mierebi ya vijitoni; nanyi mtafurahi mbele za BWANA, Mungu wenu, muda wa siku saba.


wakamleta yule punda na mwanapunda, wakaweka nguo zao juu yao, naye akaketi juu yake.


Watu wengi wakatandaza mavazi yao njiani, na wengine matawi waliyoyakata mashambani.


Na alipokuwa akienda walitandaza nguo zao njiani.


wakatwaa matawi ya mitende, wakatoka nje kwenda kumlaki, wakapiga makelele, Hosana! Ndiye mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana, Mfalme wa Israeli!