Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 21:6 - Swahili Revised Union Version

Wale wanafunzi wakaenda zao, wakafanya kama Yesu alivyowaamuru,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo, wale wanafunzi walikwenda wakafanya kama Yesu alivyowaagiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo, wale wanafunzi walikwenda wakafanya kama Yesu alivyowaagiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo, wale wanafunzi walikwenda wakafanya kama Yesu alivyowaagiza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale wanafunzi wakaenda, wakafanya kama Isa alivyokuwa amewaagiza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale wanafunzi wakaenda, wakafanya kama Isa alivyokuwa amewaagiza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wale wanafunzi wakaenda zao, wakafanya kama Yesu alivyowaamuru,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 21:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abramu akaenda, kama BWANA alivyomwamuru; Lutu akaenda pamoja naye. Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka Harani.


Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.


Musa akaiona hiyo kazi yote, na tazama, walikuwa wameimaliza; vile vile kama BWANA alivyoagiza, walikuwa wameifanya vivyo hivyo; basi Musa akawaombea heri.


Musa akafanya hayo yote; kama BWANA aliyoagiza ndivyo alivyofanya yote.


Nikafanya vile vile kama nilivyoamriwa; nilitoa vyombo vyangu wakati wa mchana kana kwamba ni vyombo vya kuhamishwa, na wakati wa jioni nikautoboa ukuta kwa mkono wangu; nikavitoa gizani, nikavichukua begani, mbele ya macho yao.


Mwambieni binti Sayuni Tazama, mfalme wako anakuja kwako, Mpole, naye amepanda punda, Na mwanapunda, mtoto wa punda.


wakamleta yule punda na mwanapunda, wakaweka nguo zao juu yao, naye akaketi juu yake.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Najuta kwa sababu nimemtawaza Sauli awe mfalme; maana amerudi nyuma, asinifuate, wala hakufanya nilivyomwamuru. Samweli akasikitika, akamlilia BWANA usiku kucha.